img Leseprobe Leseprobe

Safari ya Matumaini

John W. Wanyonyi

PDF
ca. 23,99

Mkuki na Nyota Publishers img Link Publisher

Belletristik/Erzählende Literatur

Beschreibung

Mfanisi anaanza safari yake ya kujisaka punde akiwa shuleni katika madarasa ya malezi na chekechea. Anatembea katika dunia hii ambayo anajiona akiwa pekee katika ulimwengu wa familia za wazazi wote wawili, kinyume naye aliye na mama pekee. Dunia yake inampelekea kuwa na marafiki tofautitofauti kuanzia Moi’s Bridge huko Kenya, Mwanza Tanzania na mara tena Nakuru na Mombasa nchini Kenya. Maisha yake, kimsingi yanaathiriwa pakubwa na ama marafiki zake au familia yake. Katika riwaya hii utakumbana na maudhui mseto yanayoathiri kizazi cha leo na kijacho. Imeyaangazia maudhui mbalimbali kama vile maisha katika ndoa, mahusiano ya vijana kwa vijana, mahusiano ya wazee kwa vijana na wazee kwa wazee, talanta, elimu, bidii na kazi, usaliti katika maisha, unafiki, siasa na uongozi n.k. Ni kazi inayomulika maisha ya leo na jinsi masuala ibuka yanavyoathiri jamii kwa namna hasi au chanya na ni kazi ya aina yake na ambayo hutajutia kuiweka mkononi kuisoma.

Weitere Titel in dieser Kategorie
Cover Fool's Gold
William W. Johnstone
Cover Martha
Susan Holloway Scott
Cover The Far Seeker
Brett Cogburn
Cover Hidden Valley
Janet Dailey
Cover Denouement
Nic Daniels
Cover Abandon
Sangeeta Bandyopadhyay
Cover Sand
Einat Yakir
Cover One Good Thing
Alexandra Potter
Cover The Matriarch
Pamela Redmond
Cover Hex House
Amy Jane Stewart
Cover The Calamity Club
Kathryn Stockett
Cover So, I Met This Guy
Alexandra Potter
Cover Crying Call
Jeffe Boats
Cover Ingrown
Katie Oliver

Kundenbewertungen