Muziki na Ibada Yenye Upako
Rev. Norman Holmes
EPUB
4,99 €
Geisteswissenschaften, Kunst, Musik / Christentum
Beschreibung
Muziki na Ibada yenye upako ni kitabu cha mwongozo wa kuukuza mtiririko wa kuabudu katika maisha yako na huduma kulingana na muundo tuliopewa na maandiko. Mchungaji Holmes anaonyesha mchanganyiko wa viungo muhimu, kama vile usafi, uhuru, furaha na amani, ambavyo vinahitajika katika ibada yetu ya kiroho. Wasomaji watagundua jinsi ambavyo Mungu anatafuta watu watakaomwabudu yeye katika roho na kweli, na kwamba tunaweza kuwa watu wenye kuufurahisha moyo wa Mungu kwa kuwa waabudu halisi wenye kuingia katika uzoefu mkubwa zaidi wa uwepo wake wa utukufu.
Weitere Titel von diesem Autor
Weitere Titel in dieser Kategorie